Hookworms infection and its problems Associated

Billyblogtz
0
KWA MAGONJWA MENGINE BONYEZA HAPA
                        UFAHAMU UGONJWA WA SAFURA

Safura ni ugonjwa unasabibishwa na minyoo/michango inayoitwa Tegu [hookworms].ugonjwa huu upo kote katika nchi zilizoendelea na zinazoendelea.ugonjwa huu husababishwa na minyoo wa aina mbili wajamii hii ya hookworms ambao ni ancylostoma duodenale na necator americanus.minyoo.
      Minyoo hii huishi kwenye utombo mdogo wa chakula.na minyoo hii huwapata sana watoto wa mashuleni na wakat mwingine watu wazima



Njia ambazo zinaweza kusababisha mtu kupata safura
·         Kwa minyoo kujipenyeza kwenye ngozi ya mwili
·         Kula/kunywa chakula ,maji ambayo yanavimelea vya ugonjwa huu


Dalili za ugonjwa wa safura.
Wakti mwingine mtu anaweza asioneshe dalili zozote kama ana maambukizi haya hadi aende akafanyiwe vipimo vya maaba. Lakin dalili ambazo zinaweza kujitokeza ni kama zifuatazo

                        1.maumbikizi katika ngozi
·         Maumivu ndani ya ngozi
·         Kuvimba baadhi vijisehemu vya mwili
·         Ngozi kupata rash





                        2.homa isiyo kali
                    3.kikohozi
                       4.pneumonia ikiwa mtu amepata maambukizi makubwa
                        5.maumivu katika koo
                        6.upungufu wa damu sababu minyoo hii ikiingia katika mwili wa binadamu              hujishikiza katika kuta za utumbo wa chakula na kunyonya damu na ikiwa ni mingi hueza kusababiha upungufu wa damu.
                   7.kichefuchefu
                   8.kutapika
                    10.kuharisha,kinyesi chekundu,cheusi
                     11.maumivu kwenye tumbo


Matibabu ya ugonjwa huu
Ugonjwa huu hutibika vizuri na kupona kabisa.endapo mtu atagundulika na ugonjwa huu.

Jinsi ya kuzuia/kujikinga na ugonjwa wa safura
1.kunawa mikono na sabuni kila baada ya kutoka chooni
2.kunawa mikono kwa maji safi kila na baada ya kula
3.kumtibu mtu ambae ana ugonjwa huu ili kuepuka kusambaa kwa wengine
4.kuwa na choo safi na salama
5. kuepuka kujisaidia haja kubwa hovyo hovyo.
6.usipende kutembea bila viatu katika mazingingira hatarishi

Tags

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)

#buttons=(Ok, Go it!) #days=(1)

Our website uses cookies to enhance your experience. Check Now
Ok, Go it!